Ijumaa, 27 Mei 2016
NOAH LINAPOHARIBIKIA NJIANI NA GARI HALINA MEKANIKA!
Moja ya gari la Noah ambalo linafanya safari zake kutoka Utete kwenda Ikwiriri likiwa limeharibika. Dereva ambaye amevaa kaptulua na baadhi ya abiria wanajaribu kuangalia tatizo la gari. Hizi ni baadhi ya adha wanazopata abiria wa magari ya Noah yanayofanya safari zake sehemu mbalimbali hapa nchini.
SUMATRA MNAZIONA NOAH HIZI AMBAZO HAZINA TLB!
Magari ya Noah yakiwa yanasubiri abiria katika kituo cha Ikwiriri. Magari haya mengi hayana leseni ya Sumatra na yanafanya biashara kinyume cha sheria.
KARAHA YA ABIRIA WA NOAH
Noah inayotoka Utete kwenda Ikwiriri ikiwa imesimama njiani watu wachimbe dawa. Hivi ndivyo ilivyokuwa imepakia abiria. Kwenye begi ni abiria mwingine aliyeshuka kwa ajili ya kuchimba dawa.
Alhamisi, 26 Mei 2016
UMAAFURU WA NOAH WILAYANI RUFIJI
1
Jisajili kwenye:
Machapisho (Atom)