Alhamisi, 26 Mei 2016

UMAAFURU WA NOAH WILAYANI RUFIJI

Gari aina ya Noah ambalo linafanya safari zake kutoka Ikwiriri kwenda Muhoro likiwa limepakia mizigo na abiria. Je Gari hili linastahili kubeba mzigo wa namna hii?

1

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni